Waigizaji mahiri wa filamu nchini, Wema Sepetu na Jacqueline Wolper
wametoka suruhu katika mpambano wao wa raundi 2 uliofanyika katika
Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam kwenye Tamasha la Matumaini.Dj-ku.blogspot.com
Mwamuzi akiamua mpambano uanze...
Wolper na Wema wakionyeshana ubabe...
Wema akipata mawaidha kutoka kwa mwalimu wake Rashid Matumla.
KABLA YA PAMBANO
Wema akijifua.
Wolper.
No comments:
Post a Comment