Friday, June 29, 2012

WEMA SEPETU BORA USINGEJICHUBUA ...

Duh!
 
Picha ya kwanza (kushoto) akiwa na ngozi yake halisi , nadhani hapo alikuwa bado mtoto wa mama.Sasa hii picha ya pili , mambo yameisha kuwa mambo, yaani tayari anaswampa mitaani , mara leo yupo na huyu , mara kesho wameachana na yule!

8 comments:

Anonymous said...

Yan amekuwa mbaya sana.ukichek magot meusi jaman akiumia kupona ni kazi.

Anonymous said...

Mti wenye matunda.....yaani ww umemuona wema'tu? Wengine huwaoni? Af jambo la kujichubu ni jambo binafsi,mbona mnakuwa wa_mbeya?!

Anonymous said...

Muachen apumue jaman kila siku yeye?

Anonymous said...

Tena wamkome wema wa sepetu kawa kama mswak midomon mwao! Angalien yenu na familia zenu

Anonymous said...

Wema wa ukwel, she z endless

Anonymous said...

true mwacheni mtu afanye anachotaka this is a free world look after what concern u,big up mwanadada coz u do what u want

Anonymous said...

WaTanzania imefikia mda sasa tuanze kuheshimu maisha wanaochagua kuishi wenzetu...akiacha urembo akaanza kuishi kama ulivyoambiwa wewe na wazazi wako huko kua ndo njia sahihi kuhishi akaisha chati akafulia utampa wewe maisha!?.Wote tunajua utaanza story za kumcheka kafulia. So acheni vitu personal viwe personal!.

Anonymous said...

Na mpambe wako maimartha mbona humsemi?wuvu tu