Waziri
Mkuu Mizengo Peter Pinda (kulia)
akimsikiliza kwa makini Waziri ujenzi Dkt Jojn Pombe
Magufuli(kushoto)(leo) wakati wa kipindi cha maswali na majibu kwenye
kikao cha tatu
cha mkutano wa nane wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
unaoendelea mjini Dodoma.PICHA NA VICENT TIGANYA WA MAELEZO
Naibu
Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu , Tawala za mikoa na serikali za Mitaa
(TAMISEMI) Aggrey Mwanri akijibu maswali mbalimbali yaliulizwa na
Wabunge katika kipindi cha maswali na majibu (leo) mjini Dodoma.
Mwenyekiti wa Chama cha CHADEMA na Msemaji
wa Kambi ya Upinzani Bungeni Mh. Freeman Mbowe akimuuliza Waziri Mkuu
Mizengo Peter Pinda maswali ya papo kwa papo (leo) mjini Dodoma
katika kikao cha tatu cha mkutano wa nane wa Bunge la Jamhuri ya
Muungano unaoendelea mjini Dodoma.
Waziriwa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu ) Stephen Wasira akiwasilisha Bungeni
(leo) mjini Dodoma taarifa ya hali ya uchumi wa Taifa kwa mwaka 2011 na
mwelekeo wa mpango wa maendeleo wa Taifa kwa mwaka wa fedha 2012/13.
Mwenyekiti wa CUF Profesa IbrahimLipumbaakisikiliza
kwa makini taarifa ya hali ya uchumi wa Taifa kwa mwaka 2011 na
mwelekeo wa mpango wa maendeleo wa Taifa kwa mwaka wa fedha 2012/13
iliwasilishwa jana (leo) Bungeni mjini Dodoma na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu) Stephen Wasira.
No comments:
Post a Comment